Isaiah 25:3-5


3 aKwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,
miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.

4 bUmekuwa kimbilio la watu maskini,
kimbilio la mhitaji katika taabu yake,
hifadhi wakati wa dhoruba
na kivuli wakati wa hari.
Kwa maana pumzi ya wakatili
ni kama dhoruba ipigayo ukuta

5 cna kama joto la jangwani.
Wewe wanyamazisha makelele ya wageni;
kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu,
ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.

Copyright information for SwhKC